Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Mungu si Ashumani wala John ,wanafiki wanaibuka ,inakuwaje waarabu wabaya,vyama vingine vinataka kurudisha waarabu na kuwakaribisha tena katika arzi yetu ,ili kurudisha ukoloni ,ni maneno ya Lukuvi kanisani na Asha Bakari kwenye bunge maalum la Katiba na pia ni usemi wanaolishwa waTanzania na Chama Cha CCM.
Ndani ya mwezi wa Oktoba, 2014 yeye na baadhi ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania walikwenda Oman na kuna sehemu ya Bagamoyo wamepewa waarabu kuliendeleza ,hivi hapo akiulizwa ,Mbona mlisema tunataka kurudi kuja kuleta utawala wa kisultani ,sijui angejibu nini,maana usione hivyo vilemba jamaa wanajua kiswahili kama hawana akili vizuri,ila huwadhanii.
Ndani ya mwezi wa Oktoba, 2014 yeye na baadhi ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania walikwenda Oman na kuna sehemu ya Bagamoyo wamepewa waarabu kuliendeleza ,hivi hapo akiulizwa ,Mbona mlisema tunataka kurudi kuja kuleta utawala wa kisultani ,sijui angejibu nini,maana usione hivyo vilemba jamaa wanajua kiswahili kama hawana akili vizuri,ila huwadhanii.