Waarabu-chanzo cha uvivu na umasikini kila walikopita?

Status
Not open for further replies.




sasa kama unayajua haya mbona mkianza kulalamika kuwa mlinyimwa haki za maendeleo huwa hamkumbuki kutaja hao wengine? Huwa mnaona ni waislamu tu wako nyuma. Leo unakataa. Basi acheni kulalamika kama ninyi tu.
 
acha ubaguzi wewe,na uache kutukana watu,je ni watanzania wangapi ambao si waarabu wameajiriwa nakupata riziki zao kwa waarabu? Bakhressa tu ametoa ajira kwa waafrika watanzania zaidi ya laki3 kwa taarifayako.

Mkuu jazba na povu la nini yakhe. Kumbe unawahusud hao wamanga. Lolz. Maxshimba is correct.
 

He can't
 

And Haiti is the most poorest country in the western hemisphere! Kwa hiyo unatuambiaje?
 
Nahisi kama kuna watu wameshapandikizwa humu JF kuja kuchafua hali ya hewa kwa mambo ya UDINI ili serikali ipate sababu ya kuifungia JF! Na mmoja wa hao watu ni huyu aliyeanzisha hii thread, jamani tujihadhari nae huyu mjamaa...
 
Ndugu,
nadhani kuna point tunapoteza, hivi mnaongelea waarabu gani? maana kama ni issue ya uvivu na umasikini labda mnaongelea waarabu wa Tanzania.. (nasindwa sijui niwaitaje..) Kabla sijapata nafasi ya kutoka nje ya Tanzania, nilikuwa na mawazo yanayofanana na hayo. Na zaidi ya hilo nilikuwa nikiamini kuwa hawa jamaa ni vilaza ( watu wasio na uwezo wa kimasomo..) mtazamo huo nimekuja kugundua sio sahihi kabisa. Nimepata bahati ya kusoma na watu toka Egypt, Jordan, Syria, Saudia.. kwa kutaja wachache... ki ukweli uwezo wao wa kimasomo uko juu tu, na Ki teknolojia, bila kusita ni kwamba wenzetu wanatupita.. vitu vingi tunavyosoma angalau wenzetu wasmeshawahi kuvisikia au kuviona na kuvitumia.

Mi nadhani issue ya umasikini na uvivu tutafute theory mpya , maana kama hicho ni chanzo, nilitegemea na kwao iwe hivyo.. kitu ambacho sio kweli.
Maana linapokuja suala la kukata nyanga, jamaa tunatoboa nao kama kawa tu...

Ukiangalia hata suala ya creativity.. ndugu pita Dubai.. au hata kwa Babu Gaddafi, huwizi kuamini kama hilo eneo ni jangwa...

Tuache kupakazia watu, tutafute vyanzo sahihi vya umasikini wetu, na tuanze kuvifanyia kazi... Acha Blah Blah CHAPA KAZI.
 

Oooops
 

Acha kujidanganya na kudanganya watu! Hata sasa Tz tuko nyuma sababu ya waarabu،
 
Wakristo+makafiri= mashoga +wasagaji

Elewa kwanza mashoga watoka wapi? Znz, mombasa,Tanga, na mikoa ya huko pwani! Huku kaskazini wakija watokea hukohuko, halafu huku tukiwaona tunawapiga vibaya، wewe labda unaongelea mashoga wa nchi zilizojifanya zimestaarabika, kule hakuna wakristi ni wapagani ndg yang. Sema watu wengi wanafikiri wazungu wote wenye majina ya Kikristo ni wakristo pasipo kujua historia yao!
 

There is some truth in it
 
Labda watu wenyewe wa walipopita ndio wavivu mbona Hispania sio wavivu wala sio masikini?
 


asante babu zetu waliwatimua wale mashetani
 
mbona matajiri wenu hapo bongo ni waarabu na wahindi...! mtoa mada alitaka kuweka kichwa cha habari hivi "kwanini waislam....." mtoa mada ni mdini wa kutupa ambaye si tija katika vuguvugu ma mapinduzi yanatoendelea katika inchi yetu
 
poor analysis from a poor mindset.-
 
Nimefuatilia mambo mengi sana katika nyanja mbalimbali za mafanikio ila kwa ndugu zetu waislamu kwao imekua nikitendawili .

1. Tukianza kwenye upande wa ajira , idadi kubwa ya wanaoajiriwa sio wao hili nimefanya through observation ya majina yanayo tangazwa kila siku na utumishi na idara mbalimbali.

2. Nyanja ya Elimu, nawahurumia sana tukianzia kwenye shule wanazofanya vzr Tz hawapo , wanafunzi bora hawapo , vyuoni Dada zetu wa shugi ndo wanazidi kupotezwa na mabrother men!.

3. Mafanikio mitaani kwetu. Tukiacha wale top rich guys in Tz ! Idadi kubwa ya masikini ni waislamu .

!? Wanakwama wapi hawa ndugu zetu! Mindset zao zikoje compared na Jamii nyengine! Wanahuzunisha kwakweli! Kuna haja ya viongoz wao wa dini kubadilisha mindset za hawa ndugu zetu.

Uzi tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…