Waandishi waliokutana na Waziri Nape wapasua jipu

Chiwaso

JF-Expert Member
Oct 21, 2009
5,726
3,741
Ni kuhusu madhara ya maamuzi mabovu ya kisiasa dhidi ya ujengwaji wa Uchumi wa Nchi.
Sikiliza Hii. Kwa hisani ya Millardayo.com
 
Sasa wameanza kupata akili nadhani wanakuwa watu wazima, imeaminika anayekosoa ni mpinzani kitu ambacho si kweli, watawala wakiamka leo anatoa tamko tu na nyie mnafuata kwa maumivu ya kufirisi mpaka kujiua, watawala wakiona wakikurupuka na matamko tunapiga kelele kwa pamoja watatushirikisha na kutupa muda na ushauri ili kuboresha ili kama kuna madhara tuyaepuke
 
Back
Top Bottom