Waandika Biblia kwa kikwere

Mshume Kiyate

JF-Expert Member
Feb 27, 2011
6,766
894
Wakristo wa kabila la Kikwere Jimbo la Chalinze, Wiliaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani wamezindua Biblia ilioandikwa kwa lugha yao ili jamii hiyo isome na kuelewa kirahisi maandiko ya Biblia. Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika juzi mjini hapa, Mwenyekiti Samweli kondo alisema kuzinduliwa kwa biblia hiyo kutawasaidia walengwa kufahamu mafundisho yanayotolewa na viongozi wa dini na kuhishi katika maadili mema na kuepuka vitendo viovu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…