Usikate tamaa, safari ya maisha huwa inachangamoto sana, ulijaribu kutafuta hata kibarua cha kufundisha?Maana kuna hizi shule za kata bado zinaupungufu sana wa walimu, ungejaribu hata kusafiri kutoka hapo ulipo.Maisha ni kupambana kabisa usikae tu sehemu moja, ulizia hata rafiki zako uliosoma nao wanaweza kukupa wazo la kupata kibarua cha mda kabla ya kwenda chuo.Yangu ni hayo tu.