Eddy da Rose Jr
JF-Expert Member
- Jun 1, 2023
- 244
- 244
Lipa mkopo kwa mkopo au siyo?
Kwa nini usiende bank wakakufutia hilo deni?? Kama ulikopa m4 pamoja na marejesho uliyofanya mpaka sasa utakuta deni halisi haizidi m2. Ni bora wakakulipia udaiwe na bank, huko riba n kubwa sana daima.