damtanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 752
- 1,465
Hope weekend yenu ipo poa,
Jamani, sielewi kwanini waafrika hatujikubali. Na sielewi lini tutaamka na kuanza kujielewa. Nime observe tatizo hili tumerithishwa na tunawarithisha vizazi vyetu e.g pale tunapo nunulia mabinti zetu midoli ya kizungu. Tayari unapanda mbegu fulani kichwani mwao kuwa uzungu ndio deal. Na sidhani hata siku moja kama ataona thamani ya kuwa mwafrika. As a result akikuwa atajichubua, ata taka kufanana na mzungu kwa kila hali.
Nafikiri tujitahidi kujithamini tulivyo
Jamani, sielewi kwanini waafrika hatujikubali. Na sielewi lini tutaamka na kuanza kujielewa. Nime observe tatizo hili tumerithishwa na tunawarithisha vizazi vyetu e.g pale tunapo nunulia mabinti zetu midoli ya kizungu. Tayari unapanda mbegu fulani kichwani mwao kuwa uzungu ndio deal. Na sidhani hata siku moja kama ataona thamani ya kuwa mwafrika. As a result akikuwa atajichubua, ata taka kufanana na mzungu kwa kila hali.
Nafikiri tujitahidi kujithamini tulivyo