Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 5,876
- 11,203
Kweli wakuitoa CCM madarakani ni CCM wenyewe wakitofautiana kinyume na hapo sioni hilo kutokea.
Nyerere alijua fika jitu alilo tengeneza ni jitu la namna gani.
Na ndio maana alisema upinzani utatoka CCM maana nje ya hapo hakuona kabisa kwa mifumo ya nchi ilivyo.
Nyerere alijua fika jitu alilo tengeneza ni jitu la namna gani.
Na ndio maana alisema upinzani utatoka CCM maana nje ya hapo hakuona kabisa kwa mifumo ya nchi ilivyo.