Kwa bongoland ambako vyuoni ni kutafuta course work na gpa, theory tupu hakuna vitendo fuatilia wahitimu wa hizo koz
Bora hata usomee kilimo kuliko hizo kituu,
Kama ni mtundu na ulikuwa unauwezo toka utotoni sawa, ila kama unategemea lecture za bongoland jipangee
Sent using
Jamii Forums mobile app