Mbagala kuna sehemu imetulia? Mbagala yote ni vurugu tupu, maana Watu masikini wote wako MbagalaKuanzia zakhem mpk kule stand ya mabus na kuendelea.
Me sio mwenyeji huko, ninahitaji sehem iwe imetulia.
Sina, ila nenda Maji Matitu utapata dalali wengi tu! Nina "nyumba" kule, nakufahamu, kote ni vurugu tupu! Overcrowded place lazima kukose utulivu......Kama una namba ya dalali yoyote mitaa hyo niwekee hapa.
Msome vizuri katikati ya mistari utamuelewa,mbona ameelezea vizuri tu?Naongelea room iwe sehem tulivu, kila mtu awe bize na mambo yake. Hakuna sehem kama hiyo pia?
Jamaa anataka kuishi Mbagala halafu apate sehemu tulivu tulii 😂😂😂😂
Usiende hukoNaongelea room iwe sehem tulivu, kila mtu awe bize na mambo yake. Hakuna sehem kama hiyo pia?
Kwa hiyo mdau na hiyo 50,000/=&70,000/= yake amejipiga mwingi?😂😂😂😂Mbagala hakuna chumba chenye choo ndani,mbagala hakuna chumba kodi inazidi 30,000.
Ana hamu ya kutapeliwa huyu si bureKwa hiyo mdau na hiyo 50,000/=&70,000/= yake amejipiga mwingi?😂😂😂😂
Mbagala kuna sehemu imetulia? Mbagala yote ni vurugu tupu, maana Watu masikini wote wako Mbagala




Mbagala kuna sehemu imetulia? Mbagala yote ni vurugu tupu, maana Watu masikini wote wako Mbagala



