Borderlandz JF-Expert Member Nov 23, 2016 548 729 Jan 5, 2017 #1 Kuna jamaa anatafuta chumba cha kuishi Dodoma kama kuna mtu mwenye taarifa zozote kuhusiana na vyumba maeneo haya msaada please!
Kuna jamaa anatafuta chumba cha kuishi Dodoma kama kuna mtu mwenye taarifa zozote kuhusiana na vyumba maeneo haya msaada please!
Beira Boy JF-Expert Member Aug 7, 2016 17,895 25,945 Jan 5, 2017 #3 Hata mimi pia natafuta eneo lolote zur lakin kiwe cha elf ishirin
scofield_PRISON Member Dec 11, 2016 89 46 Jan 5, 2017 #4 nanyupu said: Hata mimi pia natafuta eneo lolote zur lakin kiwe cha elf ishirin Click to expand... kibaigwa
nanyupu said: Hata mimi pia natafuta eneo lolote zur lakin kiwe cha elf ishirin Click to expand... kibaigwa
Borderlandz JF-Expert Member Nov 23, 2016 548 729 Jan 6, 2017 Thread starter #5 Chatumkali said: Anataka eneo gani? Click to expand... Dodoma mjini mkuu maeneo kama kikuyu, makole, uzunguni
Chatumkali said: Anataka eneo gani? Click to expand... Dodoma mjini mkuu maeneo kama kikuyu, makole, uzunguni
jingus JF-Expert Member Nov 17, 2013 471 317 Jan 6, 2017 #6 Mwambie akifika Dodoma aende maeneo ya ccm makao makuu kwa upande wa pili kuna kituo cha mafuta karibu forts building kuna madalali awaulizie kuhusu chumba
Mwambie akifika Dodoma aende maeneo ya ccm makao makuu kwa upande wa pili kuna kituo cha mafuta karibu forts building kuna madalali awaulizie kuhusu chumba
K K A B U R U JF-Expert Member Nov 24, 2011 818 1,067 Jan 7, 2017 #7 Borderlandz said: Kuna jamaa anatafuta chumba cha kuishi Dodoma kama kuna mtu mwenye taarifa zozote kuhusiana na vyumba maeneo haya msaada please! Click to expand... Check na huyu kwa chumba maeneo ya uzunguni 0754759780
Borderlandz said: Kuna jamaa anatafuta chumba cha kuishi Dodoma kama kuna mtu mwenye taarifa zozote kuhusiana na vyumba maeneo haya msaada please! Click to expand... Check na huyu kwa chumba maeneo ya uzunguni 0754759780