nahitaji vyumba viwili vya kuishi maeneo ya mwenge mlalakuwa,mpakani au savei Maji yawepo na nyumba isiwe ya wapangaji wengi pia gari ifike
bajeti 100-120,000 pia kama vipo maeneo ya ubungo Maji vitafaa
thank you
Njoo Kimara kuna vyumba vitatu na choo, Umeme, maji bidii yako jumla yote 180,000/ Parking full secured ,fenced kodi ya mwaka.Mkataba kuanza tar.1/12/2014...Zaidi ya hapo usisumbuke tena.Hakuna Dalali hapo. Piga 0652 617 457 :laser: