milionea wa kesho
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 328
- 632
Wakuu kuna vyumba viwili vinapangishwa. Nyumba ipo maeneo ya maili mbili Dodoma.
Gharama ni 30,000/= kwa chumba kimoja na unaweza kulipia kuanzia miezi mitatu. Hakuna hela ya dalali, unanipa hela mwenyewe.
Vyumba vipo kwenye hali nzuri. Umeme wa Tanesco, maji ya Duwasa. Choo cha ndani. Sakafu ya sementi na gypsum.
Kwa wahitaji, niPM
Gharama ni 30,000/= kwa chumba kimoja na unaweza kulipia kuanzia miezi mitatu. Hakuna hela ya dalali, unanipa hela mwenyewe.
Vyumba vipo kwenye hali nzuri. Umeme wa Tanesco, maji ya Duwasa. Choo cha ndani. Sakafu ya sementi na gypsum.
Kwa wahitaji, niPM