Wilson Leguna
Senior Member
- Feb 22, 2017
- 104
- 92
Wiki iliopita ktk mkoa wa katavi mkuu wa mkoa huo mh Makala alisikika akiwaambia wakazi wa vijijini kuwa zoezi la ubomoaji wa vyoo visivyo na ubora litaendelea, wametoa muda kwa wakazi hao kuviboresha....
Sipingani na maamuzi hayo lkn ukweli maamuzi mengine hayana mashiko au yametolewa kwa mihemko ya kisiasa...
Ukweli usiopingika maisha ya wengi vijijini ni duni, na hata nyumba zao pia ni duni na nyingi ni za vyasi...kupeleka mtizamo wa nyumba ni choo vijijini co sahihi..
Kama nyumba ya nyasi usitegemee kuwa na choo cha kisasa 'asian type' au choo bora , sana watakua na choo cha shimo na kuzungushwa ukuta wa nyasi...
Ushauri wangu kwa mh mkuu wa mkoa...vyoo ni muhimu...lkn viwe safi kwa teknolojia nafuu ya majivu ambayo inaondoa harufu na inzi..
Elimu ni bora kuliko ubabe wa kuwaongezea umaskini na majonzi, pia kuweka chuki zisizo na maana kwa serikali na 'watawala'...
Naomba kuwasilisha....
Sipingani na maamuzi hayo lkn ukweli maamuzi mengine hayana mashiko au yametolewa kwa mihemko ya kisiasa...
Ukweli usiopingika maisha ya wengi vijijini ni duni, na hata nyumba zao pia ni duni na nyingi ni za vyasi...kupeleka mtizamo wa nyumba ni choo vijijini co sahihi..
Kama nyumba ya nyasi usitegemee kuwa na choo cha kisasa 'asian type' au choo bora , sana watakua na choo cha shimo na kuzungushwa ukuta wa nyasi...
Ushauri wangu kwa mh mkuu wa mkoa...vyoo ni muhimu...lkn viwe safi kwa teknolojia nafuu ya majivu ambayo inaondoa harufu na inzi..
Elimu ni bora kuliko ubabe wa kuwaongezea umaskini na majonzi, pia kuweka chuki zisizo na maana kwa serikali na 'watawala'...
Naomba kuwasilisha....