Baada ya miaka kumi akaombe ukimbizi Somalia.Magazeti yote ya siku ya leo yakiwemo hata yale ya serikali hayajaandika chochote kuhusu mahojiano ya Makonda yaliyofanyika katika studio za Star tv siku ya jana isipokuwa gazeti moja tu la Uhuru ndio ambalo limeripoti habari ya mahojiano hayo.
My take:
Makonda sijui atakuja kuwa mgeni wa nani nchi hii.