Vyombo vya habari na maandamano ya CHADEMA

Vyombo vya habari na maandamano ya CHADEMA

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,198
Reaction score
162,745
Hivi huko Musoma hakuna reporters wa vyombo vya habari(magazeti,radio na Tv)?!

Nimeuliza hivi kwasababu maandamano ya Musoma yameanza tangu jana ila cha ajabu sijasikia wala kuona yakiripotiwa na chombo chochote cha habari!

Magazeti ya leo kimya,taarifa za habari tangu jana mpaka muda huu kimya! Cha kushangaza hata Tanzania daima la leo nalo kimya!Au serikali imewaziba midomo?!

Hata hivyo,kama kuna mtu amesoma au kusikia taarifa ya maandamano haya basi atujuze na niko tayari kukoselewa.

Na kama yameripotiwa popote,basi ni wazi habari hizi hazijapewa uzito wa kutosha ila badala yake magazeti mengi yameripoti kuizihaki CHADEMA kuwa "imeufyta" n.k
 
maandamano yalifanyika kwa amani kwa sababu kulikuwa hakuna polisi wa ccm siyo kila kinachotokea vyombo vya vinaweza kuripoti au kuandika mambo mengine ni aibu kwa serikali ya ccm kwa sababu watu wakiandamana wenyewe bila polisi hakuna madhara lakini wangekuwepo polisi lazma ungepata malalamiko mengi sana kutoka kwa polisi wa ccm
 
Musoma siyo wafuasi wa kila kinachosemwa huwa wanachekecha na kukishit wakiona hakina tija. Hakuna maandamano Musoma. Kaandamane wewe na familia yako chooni.
 
Vyombo vya habari vimezuiwa visitangaze amasivyo vitafutwa
 
Unataka magazeti yaripoti huo ujinga wenu, kwani hakuna habari nyingine za maana?
 
Hivi huko Musoma hakuna reporters wa vyombo vya habari(magazeti,radio na Tv)?!

Nimeuliza hivi kwasababu maandamano ya Musoma yameanza tangu jana ila cha ajabu sijasikia wala kuona yakiripotiwa na chombo chochote cha habari!

Magazeti ya leo kimya,taarifa za habari tangu jana mpaka muda huu kimya! Cha kushangaza hata Tanzania daima la leo nalo kimya!Au serikali imewaziba midomo?!

Hata hivyo,kama kuna mtu amesoma au kusikia taarifa ya maandamano haya basi atujuze na niko tayari kukoselewa.

Na kama yameripotiwa popote,basi ni wazi habari hizi hazijapewa uzito wa kutosha ila badala yake magazeti mengi yameripoti kuizihaki CHADEMA kuwa "imeufyta" n.k
Wekusikia Moshi, sisi wengine haituhusu!
 
Hata mimi jana nilifuatilia kwenye vyombo vya habari lakini sikuiona wala kuisikia hii habari,labda leo.
 
Elewa vita havipiganwi ktk mtaa wa amani. Usipende kushuhudia uhalifu au machafuko katka tivii. Amani ikitoweka hutamuona wa kuripoti exept BBC tu.
 
Ukiwa na akili ndogo kama ndugu yetu huyu ni vigumu kutofautisha kati ya mambo ya kijinga na yale ya maana.

Unataka magazeti yaripoti huo ujinga wenu, kwani hakuna habari nyingine za maana?
 
Back
Top Bottom