DuuuWadau naomba kujua hivi katika suala la kuajiriwa,je cheti cha kuzaliwa na NIDA navyo vinahusika sambamba na vyeti vya taaluma..
Bila kuwa na hivyo kaa pembeni tuu wapishe wadau kwenye mchakato ww ukalime matikiti maji😀Wadau naomba kujua hivi katika suala la kuajiriwa,je cheti cha kuzaliwa na NIDA navyo vinahusika sambamba na vyeti vya taaluma..