Vyeti vya Dini mashuleni havina umuhimu maishani.

Jumong S

JF-Expert Member
Jul 3, 2013
7,312
10,494
...sijawahi kuona umuhimu wa hivi vyeti japo kuna ambao tulikuwa tunaviona kama mlango wa maisha ka tukivikosa. Kiboko ukutane na viongozi wakali sasa kama wa sijui Huima, au UKWATA, sijui TYCS, mara TAFES, sijui chama gani kile cha waislam, asee kama ulikuwa mchungulia madisco utavisikia radioni. Nipo na vyeti ka 6 hivi vinapauka tuu!!

Ila ukija katika uhalisia sasa, havina maana kabisa! Huku kitaa hata yule kubwa la maadui aka Mkiti wa chama cha dini chuo/sekondari anakupigia magoti umuajiri....
 
...sijawahi kuona umuhimu wa hivi vyeti japo kuna ambao tulikuwa tunaviona kama mlango wa maisha ka tukivikosa. Kiboko ukutane na viongozi wakali sasa kama wa sijui Huima, au UKWATA, sijui TYCS, mara TAFES, sijui chama gani kile cha waislam, asee kama ulikuwa mchungulia madisco utavisikia radioni. Nipo na vyeti ka 6 hivi vinapauka tuu!!

Ila ukija katika uhalisia sasa, havina maana kabisa! Huku kitaa hata yule kubwa la maadui aka Mkiti wa chama cha dini chuo/sekondari anakupigia magoti umuajiri....
sio vya dini tu. hata hivi vya kawaida kwa wengine havina maana kama vingekuwa vinauzwa wengi wangesha uza wapate pesa.
 
...sijawahi kuona umuhimu wa hivi vyeti japo kuna ambao tulikuwa tunaviona kama mlango wa maisha ka tukivikosa. Kiboko ukutane na viongozi wakali sasa kama wa sijui Huima, au UKWATA, sijui TYCS, mara TAFES, sijui chama gani kile cha waislam, asee kama ulikuwa mchungulia madisco utavisikia radioni. Nipo na vyeti ka 6 hivi vinapauka tuu!!
Ila ukija katika uhalisia sasa, havina maana kabisa! Huku kitaa hata yule kubwa la maadui aka Mkiti wa chama cha dini chuo/sekondari anakupigia magoti umuajiri....
Tatzo tunapenda kusoma kwa ajili ya vyeti na sio knowledge
 
...sijawahi kuona umuhimu wa hivi vyeti japo kuna ambao tulikuwa tunaviona kama mlango wa maisha ka tukivikosa. Kiboko ukutane na viongozi wakali sasa kama wa sijui Huima, au UKWATA, sijui TYCS, mara TAFES, sijui chama gani kile cha waislam, asee kama ulikuwa mchungulia madisco utavisikia radioni. Nipo na vyeti ka 6 hivi vinapauka tuu!!

Ila ukija katika uhalisia sasa, havina maana kabisa! Huku kitaa hata yule kubwa la maadui aka Mkiti wa chama cha dini chuo/sekondari anakupigia magoti umuajiri....

Dini kwa ujumla inalenga ku brainwash watoto katika umri ambao bado hawajaweza kupambanua mambo ili iwe rahisi kuwatawala ukubwani.

Dini inamfanya mtu kuwa submissive hata pale ambapo anaonewa badala ya kusimamia haki yake utasikia eti anaenda kuomba
 
Mleta mada hujawahi omba kazi za Maana hivyo vyeti muhimu Sana vina kutambulisha Kama mtu wa Aina gani.Wakitaka kujua mtu mwaminifu hivyo vyeti Ni mmojawapo ya vya kukusaidia .Pili kwenye interview waweza ulizwa swali Kama wewe Ni mtu social na waweza fanya kazi kwenye groups Ushahidi mmojawapo Ni hivyo vyeti kuwa wewe umekuwa kwenye jumuiya zinazotambulika Kama hizo za vyuo .Kama wakitaka kukupima uwezo wa kiuongozi hivyo vyeti vinachangia pia Kama ulikuwa kiongozi unakuwa na added advantage.Wanajua huyo ana experience ya uongozi kwenye taasisi kubwa inayotambulika Kama Ni Ukwata,Tafes,Scout ,YCS nk
 
Toa huo ujinga wa scout hapo
Mleta mada hujawahi omba kazi za Maana hivyo vyeti muhimu Sana vina kutambulisha Kama mtu wa Aina gani.Wakitaka kujua mtu mwaminifu hivyo vyeti Ni mmojawapo ya vya kukusaidia .Pili kwenye interview waweza ulizwa swali Kama wewe Ni mtu social na waweza fanya kazi kwenye groups Ushahidi mmojawapo Ni hivyo vyeti kuwa wewe umekuwa kwenye jumuiya zinazotambulika Kama hizo za vyuo .Kama wakitaka kukupima uwezo wa kiuongozi hivyo vyeti vinachangia pia Kama ulikuwa kiongozi unakuwa na added advantage.Wanajua huyo ana experience ya uongozi kwenye taasisi kubwa inayotambulika Kama Ni Ukwata,Tafes,Scout ,YCS nk
 
...sijawahi kuona umuhimu wa hivi vyeti japo kuna ambao tulikuwa tunaviona kama mlango wa maisha ka tukivikosa. Kiboko ukutane na viongozi wakali sasa kama wa sijui Huima, au UKWATA, sijui TYCS, mara TAFES, sijui chama gani kile cha waislam, asee kama ulikuwa mchungulia madisco utavisikia radioni. Nipo na vyeti ka 6 hivi vinapauka tuu!!

Ila ukija katika uhalisia sasa, havina maana kabisa! Huku kitaa hata yule kubwa la maadui aka Mkiti wa chama cha dini chuo/sekondari anakupigia magoti umuajiri....
😆😆😆😆
 
Mleta mada hujawahi omba kazi za Maana hivyo vyeti muhimu Sana vina kutambulisha Kama mtu wa Aina gani.Wakitaka kujua mtu mwaminifu hivyo vyeti Ni mmojawapo ya vya kukusaidia .Pili kwenye interview waweza ulizwa swali Kama wewe Ni mtu social na waweza fanya kazi kwenye groups Ushahidi mmojawapo Ni hivyo vyeti kuwa wewe umekuwa kwenye jumuiya zinazotambulika Kama hizo za vyuo .Kama wakitaka kukupima uwezo wa kiuongozi hivyo vyeti vinachangia pia Kama ulikuwa kiongozi unakuwa na added advantage.Wanajua huyo ana experience ya uongozi kwenye taasisi kubwa inayotambulika Kama Ni Ukwata,Tafes,Scout ,YCS nk
Mimi nilipata ajira bila kuulizwa yote hayo
 
Mi nilikuwa sihudhurii vipindi vya dini so nikatishiwa sana hadi nikaingiwa hofu, nikahonga mchele kidogo kwa kiongozi ili jina langu liandikwe kwenye kitabu cha uzima nipate cheti.... zile mbwembwe hadi nikakifanyia ‘lamination’ kumbe najiongezea hasara tu.

Tukachangishwa pesa tena eti ‘members’ wa TAKUKURU tufanyiwe sherehe na kutunukiwa vyeti, nilichofaidi ni ile misosi tu na mziki siku ya sherehe..... vyeti kibao nimevifurumua juzi havina ishu ni upumbavu tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom