Ado Shaibu
Member
- Jul 3, 2010
- 99
- 111
TUME YA UCHAGUZI VYEO VINATOLEWA KWA RUSHWA"- MSAFIRI MTEMELWA
"Hata vyeo vinatolewa kwa rushwa. Leo ukienda Tume ya Uchaguzi aliyekuwa Katibu Mwenezi wa CCM Ramadhan Mapuri leo ni Kamishna wa Tume. Yaani aliyekuwa Msemaji wa chama kama Polepole leo yeye ndio Kamishna wa Tume!!
Leo unamuona Mkurugenzi wa Uchaguzi akiwa na Ilani ya CCM. Picha zilionesha. Hao ndio marefa wanaokwenda kusimamia mpira. Tayari wanaonesha wana upande"
Msafiri Mtemelwa, Naibu Katibu Mkuu Bara, ACT Wazalendo.
#Mahojiano #TuongeeAsubuhi #StarTV
Fuatilia mahojiano yote kwenye link:
"Hata vyeo vinatolewa kwa rushwa. Leo ukienda Tume ya Uchaguzi aliyekuwa Katibu Mwenezi wa CCM Ramadhan Mapuri leo ni Kamishna wa Tume. Yaani aliyekuwa Msemaji wa chama kama Polepole leo yeye ndio Kamishna wa Tume!!
Leo unamuona Mkurugenzi wa Uchaguzi akiwa na Ilani ya CCM. Picha zilionesha. Hao ndio marefa wanaokwenda kusimamia mpira. Tayari wanaonesha wana upande"
Msafiri Mtemelwa, Naibu Katibu Mkuu Bara, ACT Wazalendo.
#Mahojiano #TuongeeAsubuhi #StarTV
Fuatilia mahojiano yote kwenye link: