Leo hii wale wa wanufaika wa bodi ya mkopo ya elimu ya juu (HESLB) wameonja joto la jiwe baada ya kukukuta makato ya 15% kwenye mishahara yao.
Kulipa deni sio vibaya lakini ni namna gani unalipa deni ikiwamo makubaliano mliyokubaliana na mdeni wako.
Inakuwaje HESLB wavunje makubaliano ya 8%?, vile vile wanafikiliaje wadeni wao jinsi watakavyoishi?
Je, vyama vya wafanyakazi kama vile CWT, TUGHE,TALGWU et al mko wapi wateja wenu wanalia?