Vyama vya wafanyakazi mko wapi?

Vyama vya wafanyakazi mko wapi?

Viongozi wa vyama vya wafanyakazi wanacho kipigania ni kulinda vyeo vyao katika hivyo vyama.
Vyama vya wafanyakazi ni kama kampuni iliyowaajiri na kuwapa vipato vikubwa.
Ni ajabu kuona wafanyakazi wana mwaka wa tatu bila ya kuongezwa mishahara na wao wapo kimya.
Je majukumu yao ninini ?
Kuna haja ya kuwashitaki viongozi wa vyama vya wafanyakazi kwa kuto kuwajibika katika majukumu yao.
Kuna haja ya kuwa na vyama vya upinzani vya wafanyakazi ili kuleta ushindani kiutendaji kazi.
 
Mpaka muda huu kuna threads zaidi ya kumi zilizoanzishwa leo na wafanyakazi wa serikali,wanalalamika sana,inasemekana mambo yao ya mishahara haiko sawa,mana waliahidiwa kuongezewa mapema mwezi huu wa saba.

Hebu jetokezeni simameni mbele ya wafanyakazi enyi viongozi wa vyama vya wafanyakazi.
Wafanyakazi feki au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom