Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 38,562
- 48,911
How sad..
Muungano wa Vyama MFU...
CUF....Ilishajifia kitambo sana..juhudi za kufufuka..ni UKAWA..
CHADEMA...imejifia hivi majuzi...ipo katika mbinu za kujifufua tena....
NCCR How sad?? wanatimiza wajibu wao tu wa kuwa chama cha upinzani...lakini hapo walipo hawatakuwa kwa muda mrefu kwani watagundua kua wanatumika na wenzao waliokwisha kufa na kuoza na wakitambua kwamba harufu yao inaweza waharibia image yao publicly..so itajitoa haraka sana..
ni vyema tukawaepuka hawa waliojifia tayari wasijetuambukiza , mabalaa yao yalio waua kisiasa...ni kama yafuatayo..
Udini....
Ukabila...
Wivu...
Chuki binafsi...
Umimi.....
Ukanda.....
hayo ndiyo mambo yaliyoviua vyama tajwa hapo juu...
Chonde chonde msituambukize hayo magonjwa yenu...
Wananchi nawaasa mjitenge nao...
Wananuka harufu mbaya ya yaliyotajwa hapo juu...
Mungu Ibariki Tanzania moja yenye Tanganyika na Zanzibar salama.
Happy 50th Birthday!!
Muungano wa Vyama MFU...
CUF....Ilishajifia kitambo sana..juhudi za kufufuka..ni UKAWA..
CHADEMA...imejifia hivi majuzi...ipo katika mbinu za kujifufua tena....
NCCR How sad?? wanatimiza wajibu wao tu wa kuwa chama cha upinzani...lakini hapo walipo hawatakuwa kwa muda mrefu kwani watagundua kua wanatumika na wenzao waliokwisha kufa na kuoza na wakitambua kwamba harufu yao inaweza waharibia image yao publicly..so itajitoa haraka sana..
ni vyema tukawaepuka hawa waliojifia tayari wasijetuambukiza , mabalaa yao yalio waua kisiasa...ni kama yafuatayo..
Udini....
Ukabila...
Wivu...
Chuki binafsi...
Umimi.....
Ukanda.....
hayo ndiyo mambo yaliyoviua vyama tajwa hapo juu...
Chonde chonde msituambukize hayo magonjwa yenu...
Wananchi nawaasa mjitenge nao...
Wananuka harufu mbaya ya yaliyotajwa hapo juu...
Mungu Ibariki Tanzania moja yenye Tanganyika na Zanzibar salama.
Happy 50th Birthday!!