Nebisirwe
Senior Member
- Jul 27, 2011
- 169
- 20
Ndugu Wapendwa wasalaam, Naomba nichukue nafasi yenu muda huu niombe msaada wenu wenye kufahamu katika maisha ya kila siku niombe mwana JF yeyote anisaidie kunifahamisha vyakula ambavyo naweza kula kwa siku walau bila kugusa "VYAKULA VYENYE WANGA" Niombe sana msaada huo niombe uzingatie maisha ya kawaida. Asanteni