Vyakula natural vinavyo ongeza hamu ya mapenzi

Vyakula natural vinavyo ongeza hamu ya mapenzi

Rebeca 83

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
15,475
Reaction score
33,038
Hello wadada na wakaka wa JF,

Leo nilikua naomba tupeane maarifa juu ya vyakula natural vinavyo boost hamu ya kufanya mapenzi, lol hasa kwa wanawake nimeona divorces, nyingi ni pale mke anapofika umri wa 40-50.

Nimeconclude, hiki ni kipindi kile wanawake wanakaribia kufika ukomo wa hedhi hivyo hormones zinazoleta hamu ya kufanya mapenzi, zinaanza kupotea taratibu sio tu hivyo, hii hali inaweza kuleta matatizo mengine kama depression, agitation etc.

Ukifikiria kwa makini hii hali,inaweka strain kwenye ndoa nyumbani,wababa ndio wanaanza kutafuta muda wa kuchepuka, lol.

Dawa ya kuwaacha wakaka wakae nyumba kuu, ni kuwa nasupplement, zinazotufanya tu kwichi kwichi mpaka na sie tuwe na umri wa miaka 70, lol

Karibuni kwa mawazo.
 
Daah huu uzi huu!!!Mi nadhani kula matunda kwa wingi,vyakula jamii ya mbegu hasa karanga na korosho.Kupata muda mwingi wa kufanya mazoezi kuweka mwili katika hali ya kuwa na afya bora..
Pia kubwa kuliko yote ni kutoizoea ndoa.Maana hata ule karanga debe zima na asali chupa nzima,kama umeizoea ndoa sidhani kama utadumu nayo.Ifanye ndoa yako kila siku ionekane mpya.
 
Seriously mazoezi na diet ni mujarabu wa matatizo mengi ya afya including sex drive.

Tuwe na utamaduni wa kufanya mazoezi na kuzingatia nini tunachokula sio hadi yatukute ndo unaanza kukumbuka kufanya mazoezi.
 
Ebu kuleni viazi vitamu,mboga mboga, mihogo ya kuchemsha,magimbi,maziwa maziezi rahisi hasa kutembea karanga punguzeni junk food na soda.afu kunywa maji mengi ya kunywa mbona mgegedo utautamani

Sasa endelea kula chipsi na fried food sana sana uone utakua unaona wenzio wanagegedana akati we hutamani
 
Jaribuni hii kitu mlete mrejesho! Hiyo supu ya chatu ndio kiboko...
 

Attachments

  • download.jpg
    download.jpg
    8.3 KB · Views: 69
  • images-11.jpg
    images-11.jpg
    7.3 KB · Views: 69
Back
Top Bottom