Mista mwani
New Member
- Mar 14, 2025
- 2
- 4
Baadhi ya vyakula hulegeza misuli ya LES (Lower Esophageal Sphincter) hivyo husababisha kuruhusu asidi ya tumbo kurudi juu.
Pia huchelewesha mmeng’enyo wa chakula, hivyo chakula hubaki tumboni kwa muda mrefu zaidi.
Kwa mwenye changamoto ya acid reflux inamlazimu ache kutumia vyakula hivyo.
Baadhi ya vyakula vinavyoweza kusababisha acid reflux ni hivi:
• Vyakula vya kukaanga (mafuta mengi)
• Maharage, kunde, njugu
• Vyakula vya ngano nyeupe (chapati n.k)
• Chipsi na vitafunwa vya viwandani
• Viungo vikali kama pilipili (nyeusi, nyeupe, au cayenne) na chili powder
• Nyama nyekundu (ng'ombe n.k)
• Mchuzi wenye nyanya nyingi (tomato sauce)
• Matunda ya asili ya asidi kama machungwa, ndimu, na grapefruit
• Chokoleti
• Wali.
• Vinywaji vyenye gesi kama soda
NB: kuwa na utaratibu wa kujichunguza ukiona chakula flani ukila kinakuletea shida mwilini ni bora ukakiwacha.
Kwa kufanya mabadiliko haya madogo ya lishe na ratiba ya kula, unaweza kupunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la kurudi kwa asidi ya tumbo.
0674060986 Kwa ushauri zaidi.
Pia huchelewesha mmeng’enyo wa chakula, hivyo chakula hubaki tumboni kwa muda mrefu zaidi.
Kwa mwenye changamoto ya acid reflux inamlazimu ache kutumia vyakula hivyo.
Baadhi ya vyakula vinavyoweza kusababisha acid reflux ni hivi:
• Vyakula vya kukaanga (mafuta mengi)
• Maharage, kunde, njugu
• Vyakula vya ngano nyeupe (chapati n.k)
• Chipsi na vitafunwa vya viwandani
• Viungo vikali kama pilipili (nyeusi, nyeupe, au cayenne) na chili powder
• Nyama nyekundu (ng'ombe n.k)
• Mchuzi wenye nyanya nyingi (tomato sauce)
• Matunda ya asili ya asidi kama machungwa, ndimu, na grapefruit
• Chokoleti
• Wali.
• Vinywaji vyenye gesi kama soda
NB: kuwa na utaratibu wa kujichunguza ukiona chakula flani ukila kinakuletea shida mwilini ni bora ukakiwacha.
Kwa kufanya mabadiliko haya madogo ya lishe na ratiba ya kula, unaweza kupunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la kurudi kwa asidi ya tumbo.
0674060986 Kwa ushauri zaidi.