KATIKA hali ya kuonesha dhamira ya wazi ya kutovumiliana leo majira ya saa 8 katika ofisi ya CHADEMA wilaya ya TARIME kumetokea malumbano kati ya viongozi wa wilaya waliokuwa na kikao cha kawaida cha kujadili maswala ya chama na upande wa nduguMWITA WAITARA AFISA SERA NA UTAFITI CHADEMA MAKAO MAKUU
KIINI CHA MALUMBANO ILIKUWA
ni ndugu WAITARA kuingia katika kikao huku kikiwa kinaendelea na kuhoji uhalali wa kikao hicho kutoongozwa na mwenyekiti aliyekuwa akikaimu nafasi hiyo ambaye badae alisimamishwa kwa utovu wa nidhamu na kupeleka siri za chama nje ya vikao halali vya chama.
Akiwa anaongea kwa kufoka waitara amewambia viongozi wa wilaya kuwa ametumwa na katibu mkuu kuleta barua na kuhakikisha mwkt anarudi katika nafasi yake jambo ambalo halikukubalika na viongozi baada ya viongozi kuonekana kujenga hoja zao bwana waitara mwita aliyekuwa mgombea wa jimbo hilo mwaka 2010 aliamua kukaa kwenye meza juu huku akiwa anapiga kelele jambo ambalo lilionekana kuungwa mkono na katibu wa vijana wilaya ndugu hussein abeid na ndugu lucas ngotyo kaimu mwenyekiti wa wilaya aliyedaiwa kusimamishwa na uongozi wa wilaya.
Baadae ikatokea mtafaruku baada ya baadhi ya vijana kuchachamaa wakimtaka ndugu waitara kueleza ni namna gani amekuja kwnye kikao cha kamati tenndaji na wao huku si wajumbe na pia akiwa amelewa?na ni kwa nin i anaamuru watu wake kukaa juu ya meza na kuendelea kutukana viongozi na yeye kama kiongozi wa kitaifa kwa nini astumikekupunguza mgogoro badala yake anauongeza?
mpaka tunaenda mitamboni inasemekana ndugu waitara atakuwa na kikao kingine tena kesho baada ya kusambaratisha hichi cha awali cha viongozi wa wilaya na chake kushindwa kukaa.
Taarifa za uhakika zinasema mpaka usiku saa 4 alikuwa kwenye hotel ya nyam,ete akiwa na vijana wapatao 10 wanaosaidiana kuendesha uasi kwa majadiliano yanmayolenga kuandaa kikao kingine kesho saa 5 kwenye ukumbi wa JJ CLUB na inasemekana kabla ya hapo alikuwa eneo la PROMISE BAA akiwa na kikao kingine pia majira ya saa 1 kamili mpaka saa 2 source ni vijana watiifu walionipigia simu na kushikiana kutoa taarifa hizi.
Mnahangaika sana na ubunge wa familya,mliwakimbia wanachadema kipindi cha uchaguz na uhakikisha jimbo liarudi ccm mkacheka mamba hamjavuka mto,sasa mnaendesha siasa za maji taka mkilazmisha kuungwa mkono kwa nguvu,we uliyeandika hujui chochote kile kuhsu chadema tarime na kama ukaa tarme basi uwelewa wako ni mdogo sana tambua wajumbe harali wa kamat tendaji ni mwita mwikwabe,chrstofa chomete,ghat nyerere,chacha heche,husein obedi,paulo wandoche,kinyanga,elias nyagabona na marwa marumi hawa ndio wajumbe harali wa kikao wengine wote waliobaki hawana uharali wa kuenderea kuitwa wajumbe kama mrs.nyagabona,marwa mroni,nashon,makima,sauti,ngoto na mzee lubogo kasome katiba ili ujue kwanini si wajumbe harali msidanganye watu.