KAKA A TAIFA JF-Expert Member Joined Apr 27, 2011 Posts 566 Reaction score 83 Aug 11, 2011 #1 YANAYOTOKEA UINGEREZA YATATOKEA KILA MAHALI AMBAPO VIJANA WAMECHOKA NA HUDUMA ,MAISH A DUNI,NAUKOSEFU WA AJIRA:
YANAYOTOKEA UINGEREZA YATATOKEA KILA MAHALI AMBAPO VIJANA WAMECHOKA NA HUDUMA ,MAISH A DUNI,NAUKOSEFU WA AJIRA:
Shomari JF-Expert Member Joined Mar 8, 2008 Posts 1,112 Reaction score 242 Aug 11, 2011 #2 Huu mwaka wa shetani kabisa, maandamano na fujo kila kona, watu wengi sana wameuawa, mfano japan na kwenye maandamano yanayoendelea, mpaka mwaka huu uishe tutajionea mengi sana
Huu mwaka wa shetani kabisa, maandamano na fujo kila kona, watu wengi sana wameuawa, mfano japan na kwenye maandamano yanayoendelea, mpaka mwaka huu uishe tutajionea mengi sana
Vin Diesel JF-Expert Member Joined Mar 1, 2011 Posts 9,087 Reaction score 6,392 Aug 11, 2011 #3 hivi chanzo cha vurugu UK ni nini hasa?
TUKUTUKU JF-Expert Member Joined Sep 14, 2010 Posts 11,763 Reaction score 4,047 Aug 12, 2011 #4 Duh!wizi mtupu!!