mwakunakajoja
Member
- Oct 9, 2011
- 5
- 0
leo mida ya mchana zimetokea vurugu kati ya CHADEMA na CCM katika wilaya ya Rungwe kata ya kiwira, CCM wanagawa rushwa ili mgombea wao apite kweny uchaguzi wa diwani! Pamechimbika hadi FFU kutk jiji wameenda kutuliza! Hali si shwari kabisa, CCM kubalini kushindwa CHADEMA ni moto wa kuotea mbali! Hope wananchi wa arumeru nao hawatakubali ili litokee!