Vumbi la Congo na hatari ninayoiona

Sasa dada kupaka mboo hiyo na dawa na mimba wapi na wapi...kwani akipaka Vumbi hakumwagii shahawa hadi usipate mimba dada angu?

Nieleweshe
 
Kweli mkuu. Sikujua kama ni ya kupaka japo kuna dawa za kutibu uhanithi kama hiyo alprostadil hapo juu hutumika kwa kupaka. Kingine watu wanasema inasaidia uume kusimama na wengine wanasema inasaidia tu kuchelewa kufika kileleni. Kipi ni kipi?
Mkuu vumbi la congo has anaesthetic property...like lidocane or lignocane
 

inaonekana hata hajawahi kuiona hio mkongo
 
Nalipataje?
 
Watu bhana!!!...
Vumbi la Congo aka Putuluu wenyewe wanaita ni Unga wa dawa za mitishamba.. Unapaka ktk kichwa cha uume Kisha unafunga nailon ktk hiko Kichwa cha uume almost 12 hrs Kisha unaenda kuosha uume wako ..unasubiri huyo mdada aje ndo uanze kazi... Ila Kama hatokuja wala uume hautosimama ila tu kosa ni pale utakaposimana na kuingiza ukeni.. Hapo ni 3 hrs na zaidi...
 
Ni hatareee...
 
Ntalipata wapi..ni Pm tufanye biashara
Sent using Jamii Forums mobile app
 
vumbi la congo a.k.a 'putulu' ni tamu mmno kama unajua kulitumia, nimpakia mama mwenye nyumba wangu (landlords) ni wiki ya tatu kila anapo niona lazima anikimbiee……...mmmmhhmm nisha tia adabu
 
Sasa ni mwendo wa kyai ka maziwa na viungo vyake almaarufu "Alkasusu"
 
Brother utasababisha watu wapate gangrene kwenye mboo, vumbi la Kongo ukipaka ndani ya dakika tano hadi kumi utaanza kusikia ganzi. Ukianza kusikia ganzi nawa mara moja kuondoa dawa.
Ukishaiondoa dawa ganzi itaendelea kuongezeka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapakaje mkuu?? Unachanganya na maji au hivo hvo unga unga ukiwa mkavu na vumbi lake??

Goite
 
Dadeq bila shaka wewe umeshatumia vyote, umrjuaje yote haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…