yungsteval
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 309
- 108
habari nimeitwa kwa interview na hawa jamaa.....mwenye experience na hawa watu abt interview tushee kidogo....
Jiandae kwa maswal mengi sana. Bukoba au wap
Nafasi gani
Sasa volunteer
unaogopa interview...wangekuwa ni ajira anyway nitafute kesho mapema
nikupe issue zote
When is your interview will be done