osuvat simon
Member
- Mar 5, 2013
- 12
- 3
Songa mbele mwana... Bigup xana start small but think big... Achana na rumus, elfu 35 yeye kajulia wapi na kama angeitwa yeye jery kwani asingeenda?
imekula kwako....kwa wiki elfu 35 na unakaa hosthouse...alafu miezi yako mitatu ikisha na ww habari yako imeisha amna ndoto za ajira pale....wanatoa chance mara moj kwa kila m2
Acha kumkatisha tamaa
mwenzio!
Hivi kwanini watu wengine huwa mna vitu negative sana? Hivi unategemea
uzoefu umkute nyumbani amekaa tu? Wacha hizo bwana, mwenzetu ndo ametoka
hivyo potelea mbali hiyo elfu 35 kwa wiki. Hata kama ingekuwa bure mimi
ningemshauri aende tu! Kuna jamaa yangu alichukuliwa na hawa jamaa kwa
muda, matokeo yake ndo wakawa wamemfungulia njia ya kufanya kazi kwenye
UN agencies mpaka hivi ninavyosema jamaa anapiga kazi WFP na kabla ya
hapo alikuwa UNDP!! Yungsteval, usirudi nyuma songambele mwana
imekula kwako....kwa wiki elfu 35 na unakaa hosthouse...alafu miezi yako mitatu ikisha na ww habari yako imeisha amna ndoto za ajira pale....wanatoa chance mara moj kwa kila m2