VPL tarehe 18/11/2017: Tanzania Prisons 0 Vs 1 Simba Sports Club uwanja wa Sokoine, Mbeya

93 'Naam mpira umekwisha hapa uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine mjini Mbeya kati ya Tanzania Prisons na Simba SC Matokeo ni kwamba Simba SC imeibuka na ushindi wa goli moja bila majibu likiwekwa kambani na John Bocco 84'

Ulikuwa na Ghazwat mwanzo wa mchezo hadi mwisho. Asante sana Mungu Awabariki
Mkuu umetishaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom