Hiyo muhimu sana...Simba imenipa sababu ya kupiga lager
Akitoka akuoneAsanteee john boko
Haha... Mkuu hawawezi.
Mpe salam zangu mwambie akuje anioneAkitoka akuone
Ntamsindikza bhn....mi c shabik namb moja wa SimbaMpe salam zangu mwambie akuje anione
Goli tunawapiga Prison,maumivu wanasikilizia Yanga SC,This is Simba brotherMISSION: Kuchukua Point 6 katika uwanja wa Sokoine.
STATUS: Mission Accomplished.
Mkuu umetishaaaaaaaaa93 'Naam mpira umekwisha hapa uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine mjini Mbeya kati ya Tanzania Prisons na Simba SC Matokeo ni kwamba Simba SC imeibuka na ushindi wa goli moja bila majibu likiwekwa kambani na John Bocco 84'
Ulikuwa na Ghazwat mwanzo wa mchezo hadi mwisho. Asante sana Mungu Awabariki
Goli tunawapiga Prison,maumivu wanasikilizia Yanga SC,This is Simba brother
cc Sibonike Makoye Matale na ndugu zao