MTUNZA AMANI
Senior Member
- Jun 2, 2012
- 187
- 21
Haya wadau wa kabumbu,heshima kwenu,leo kama kawa mabingwa watetezi YANGA wanashuka dimbani uwanja wa taifa kukipiga na watoto wa jiji ASHANT UNITED. Nani zaidi leo.je wazee wa uturuki wataendelea kushika usukan au la,yetu macho na maskio. Kwa wale watakaokuwa uwanjani tupia updates hapa.