Ubingwa wa kichina=Ubingwa wa kununua=Kushindwa kumfunga mtani kwa miaka 3.
Ni kawaida timu kubwa kama yanga kufungwa na katimu kadogo kama simba a.k.a mikia fc. Rejea ligi kubwa kama liga bbva, epl, makombe mbalimbali kama FA, Carling cup na mengineyo kwahiyo sio ajabu kwa katimu kadogo kama simba kumfunga bingwa mtarajiwa.
Swala la kununua mechi hilo kwetu haliwezekani kwani ukitaja timu bora kwa sasa africa mashariki na kati YANGA IPO, wanaonunua mechi ni Azam na Simba coz wote wanapigania nafasi ya pili. Shughulisha ubongo wako na jitoe kwenye lile kundi alilowaweka rage then utajua namaanisha nini.
Kama hamnunui mechi mbona timu zenye uchumi mzuri na zile zinazotambua ushindi ni zaidi ya pesa ziliwachapa au kutoa sare?
Sizitaki mbichi hiziUbingwa wa kichina=Ubingwa wa kununua=Kushindwa kumfunga mtani kwa miaka 3.
Halafu hizo timu zenye uchumi mzuri na zinazotambua kuwa ushindi ni zaidi ya pesa RAUNDI YA PILI TUMEWAFANYA NINI? Lete matokeo yao. Ukishapata jibu jisifie kimoyomoyo kuwa wewe ni mbumbumbu uliyekomaa
Toa mfano wa bingwa aliyeshindwa kumfunga mkia miaka mitatu mfululizo.kwenye hiyo BBVA name EPL
Mmemfanya nini Simba nyie misukule ya manji, lete hapa cha kujisifia. Hata ndanda aliyekataa vipesa vya manji aliwafanya nini hapa hapa kwenu?
Toa mfano wa bingwa aliyeshindwa kumfunga mkia miaka mitatu mfululizo.kwenye hiyo BBVA name EPL
Mmemfanya nini Simba nyie misukule ya manji, lete hapa cha kujisifia. Hata ndanda aliyekataa vipesa vya manji aliwafanya nini hapa hapa kwenu?
Mkuu nakuona umekazana kuuelimisha huo mkia lakin bado hauelewi, achana nae huyo hana cha maana cha kukuambia zaidi ya kujisifia tu kuwa kulimfungeni goli tano.Kwenye MABONANZA simba anaongoza kamfunga sana yanga na kachukua sana ubingwa wa mashindano ya NDONDO makombe yanayotambuliwa na BankABC, TBLna Grand malt hawa nadhani ndio wale mabosi wa Mapinduzi cup kama sijakosea.
Kwenye LIGI KUU BARA Yanga kamfunga sana simba na YANGA huyo huyo mpaka sasa ndiye anayeongoza kwa kuchukua hilo kombe linalotambuliwa na FIFA, CAF mara nyingi sana kuliko timu yoyote ile Tanzania Bara.
simba 1-1 ndanda .........ni utabiri wangu tu.
Ndanda ndiyo mnauza mechi mapema hivi, hapo ni mambo ya Yuda tu. Mtashuka daraja shauri zenu...
Mikia fc, wahapa hapa fc, wasindikizaji fc, Okwi fc, wadhulumiwa fc, 3rd position fc. Mapinduzi cup fc. Naona ndiyo mmeanza ligi, chezeni simple mana nafasi ya 3 ni yenu akuna atakaye wafikie pale. Tff inafanya mchakato kuwepo na mapinduzi cup mwakani ili mtetee taji lenu.
Ndala fc, Migongo wazi fc , Kanji bhai fc, Vyura fc Nyinyiem Fc
MIKIA HUWA ANASHIRIKI HIZO LIGI ULIZOTAJA, au umekosea kuelezea hiyo post yako. Rekebisha nikujibu au ndio yaleyale mambumbumbu kazini.
NOTE: Nimeshindwa kuelewa hapo bingwa aliyeshindwa kumfunga mikia mfululizo kwenye hiyo BBVA name EPL
Na kama kweli umekosea katika maelezo yako hapo juu na ukarekebisha nadhani utaprove ile kauli ya rage na wewe utakuwa mbumbumbu times two
Katika La Liga(inayodhaminiwa na bank ya BBVA) na katika EPL,ni timu gani ambayo huchukua ubingwa mara kwa mara lakini inasumbuliwa na Timu fulani moja huku timu hiyo ikiwa iko kimkia mkia kwa miaka mitatu mfululizo?
hapo kwenye 'name' ilitakiwa kuwa 'na'
Mkuu nakuona umekazana kuuelimisha huo mkia lakin bado hauelewi, achana nae huyo hana cha maana cha kukuambia zaidi ya kujisifia tu kuwa kulimfungeni goli tano.
Hapana kama yanga Tanzania...,