vp kwa matokeo haya nawez kusomea nin??

vp kwa matokeo haya nawez kusomea nin??

mandojo

Member
Joined
Jul 2, 2016
Posts
41
Reaction score
5
nilifany mtihani wataifa 2013 na matokeo yakawa hivi, civcs c,geo c, Engliah c, bios c, kiswahil c, math e, phsc e, na chemistry e.but kutokana na some reasons sikufanikiwa kuendelea kimasomo ila now nshajipanga natak kusom. your views iz very important
 
unaweza kuendelea 4m five mbona wanaangalia kama una credit 3 zenye combination japo hujataja history kuwa ulikuwa na alama gan ila kama una history c bac nenda private advice watakupokea
 
nilifany mtihani wataifa 2013 na matokeo yakawa hivi, civcs c,geo c, Engliah c, bios c, kiswahil c, math e, phsc e, na chemistry e.but kutokana na some reasons sikufanikiwa kuendelea kimasomo ila now nshajipanga natak kusom. your views iz very important
Kama unayo nia ya kusoma Advance...nicheck 0656415981,ntakusaidia ndugu.
 
mkuu history nlipata d" combination hakubalanc
 
college gan mkuu , VP diploma in prymary
 
Back
Top Bottom