Volunteers Service Overseas (VSO) Tanzania

Volunteers Service Overseas (VSO) Tanzania

Mukulu anasisitiza Uzalendo kila siku.

Uzalendo ni pamoja na kuitangaza, kuipenda, na kuitukuza Lugha yako.!!

Iam alwayz afraid those freshy from School....!!
Asante kwa ushauri ..ila mwisho na wewe umetumia lugha ya malkia..hahaha natania
 
HAHAHAHA HEBU NIPE EMAIL YAKO NIMPE JAMAA MMOJA UMTUMIE CV YAKO AU NITMIE CV YAKO (LAKINI KAMA UKO VIZUR KWENYE MASWALA YA RESEARCH HASA DATA COLLECTION AND ANALYSIS KWA KUTUMIA SPSS, STATA NK)
 
HAHAHAHA HEBU NIPE EMAIL YAKO NIMPE JAMAA MMOJA UMTUMIE CV YAKO AU NITMIE CV YAKO (LAKINI KAMA UKO VIZUR KWENYE MASWALA YA RESEARCH HASA DATA COLLECTION AND ANALYSIS KWA KUTUMIA SPSS, STATA NK)
Shukrani sana... nakutumia email yangu..nimeku pm mkuu
 
Nipende kutoa shukrani zangu za dhati kwa waliowiwa kunitia moyo na kuanza kunionesha njia ya kufuata...

Mbali na kutoa shukrani zangu za dhati kwa watu hao PM, nimependa kutoa shukrani hizi hapa jukwaani ili niwatie moyo wale wote wanaokata tamaa pindi wanapopata mawazo hasi kutoka kwa baadhi ya wanajukwaa hapa.

For me, this is the power of social media as somebody who never knew me before is so eager to wish me for the best and more to ask what to do to make my journey ( looking for job/ internship) possible.

Thank you all for spoken and unspoken prayers.

I wish others who are in need like me could get this opportunity ( given pieces of advice and way forward ) just like the way you did and continuing doing to me.

Asanteni sana...
 
Nipende kutoa shukrani zangu za dhati kwa waliowiwa kunitia moyo na kuanza kunionesha njia ya kufuata...

Mbali na kutoa shukrani zangu za dhati kwa watu hao PM, nimependa kutoa shukrani hizi hapa jukwaani ili niwatie moyo wale wote wanaokata tamaa pindi wanapopata mawazo hasi kutoka kwa baadhi ya wanajukwaa hapa.

For me, this is the power of social media as somebody who never knew me before is so eager to wish me for the best and more to ask what to do to make my journey ( looking for job/ internship) possible.

Thank you all for spoken and unspoken prayers.

I wish others who are in need like me could get this opportunity ( given pieces of advice and way forward ) just like the way you did and continuing doing to me.

Asanteni sana...
Napenda bure jamii forum
 
Ndugu wakubwa na kwa wadogo, wasalam!

Nipende kutoa shukrani kwa mwitikio wenu wa ushauri juu ya nini nifanye nilipokuja kuomba. Wengi mlinishauri na kunitia moyo kama fresh graduate.
Kama mjuavyo, kushukuru ni kuomba tena,

Nimekuja kuomba msaada juu ya aina assessment wanayofanya VSO Tanzania. Wamenikaribisha kwenye assement day yao.

Je, ni aptitude tests? Au aina gani. I just need to get few enlightenments.

Asanteni sana! Mbarikiwe wote. Jf sitaisahau.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo jamaa cjui nmewakoseaga nn kila nituma hoaaal ...hajawahi kuniita nmekaribia kuwadhira na mm
 
Mkuu unabahati maana at a mid nilipiga sana hodi humu kwa MTU yeyote mwenye networks na recruiter ili nijitolee ktk NGO yeyote jijin apa lkn sana jf hawakufungua milango lkn we hongera sana
Asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom