Jaman nmetft kaz ad nmechoka, nmetft volunteering nayo nmekosa, km kuna mtu ana dil au mchongo wa kuvolunteer ansaidie jmn nna degree ya computer science
ndugu tinoh ulipotafuta kazi za coomputer science ukakosa,
Je ulishawahi kufikiria juu ya kazi nyengine ambazo una uwezo wa kufanya nje ya degree yako uliyosome?
Kw kukusaidia kufikiri.....kama umesomea computer science, ina maana ulisoma masomo ya science advance secondary school ...
Shule nyingi sana zinahitaji waalimu wa science, na wanawalipa mshahara usiopungua 500,000 kwa mwezi.
Kama hukuwahi waza wala kupenda kushika chaki,,,,sasa itabidi uanze kupenda.
FURSA ZIPO....NI WEWE KUZIONA NA KUZITUMIA
Jaman nmetft kazad nmechoka, nmetft volunteering nayo nmekosa, km kuna mtu ana dil au mchongo wa kuvolunteer ansaidie jmnnna degree ya computer science
Ushauri kwako mdogo wangu. Unapoelezea/present kitu muhimu kama hiki jaribu kuwa makini JF ni mkusanyiko wa watu wengi wakiwemo maafisa uajiri,kwa aina hii ya uandishi mtu anaweza kukuona si mtu makini. Wenyewe mnaelewana mkiandika hivi lakini si kila mtu atakuelewa kwa hizi lugha zenu za vijiweni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.