Voice of America yaikosoa NEC na utaratibu mzima wa uchaguzi Tanzania, yakirikuwa Tanzania haki haiji kwa njia ya kupiga kura ila ubabe na kutumia majeshi. ...NEC chanzo cha dhuruma.....
Do uchaguzi tz umekuwa vita.... nilishangaa sana mambomu kupigwa kila mahali baada ya kura kumaliza kupigwa..... hii sio sawa kwa nchi ambayo watu wake ni wapole na hawana fujo.....
Duhh!! sijui Magufuli atapeleka wapi bakuli lake kuomba maana alikukowa akipita Kikwete na bakuli ndio hao wanaouponda uchaguzi huu na sidhani kama watakuwa tayari kutoa misaada yao kwa serikali iliyoingia madarakani kwa hila na wizi.
We know everything about their ambitions but they must understand, it's Tanzanians who live for their country. Our gas and other endowments will forever be ours other than any gang or a person whatsoever.
We know everything about their ambitions but they must understand, it's Tanzanians who live for their country. Our gas and other endowments will forever be ours other than any gang or a person whatsoever.
We know everything about their ambitions but they must understand, it's Tanzanians who live for their country. Our gas and other endowments will forever be ours other than any gang or a person whatsoever.
Voice of America yaikosoa NEC na utaratibu mzima wa uchaguzi Tanzania, yakirikuwa Tanzania haki haiji kwa njia ya kupiga kura ila ubabe na kutumia majeshi. ...NEC chanzo cha dhuruma.....