Kila nikiingia #149*01# spati menu ya bundle ya wiki au siku kwa option ya voda to voda au voda to others.matokeo yake naona monthly bundles.je wamekuwa wanasiasa
Dah!!! Ngoja nichungulie maana hiyo ya mwezi wanaiba sana data na kuisha hata wakati mwingine wiki 3 hazifiki. Ila ya wiki mtu unaifatilia vizuri so hawachakachui kivile...wanaogopa utawajua haraka.
Mie naweka limit ya data usage kwa simu kila napojazia inasaidia kujua mambo yapo poa.
Kila nikiingia #149*01# spati menu ya bundle ya wiki au siku kwa option ya voda to voda au voda to others.matokeo yake naona monthly bundles.je wamekuwa wanasiasa
Mimi mmoja wapo, nimeweka hela kwa wakala kwa wakala hela imekuja kwangu, kwangu haijafika, tumepiga simu ili kujua nini tatizo wanasema hela iko hewani, watairudisha kwa wakala aitume upya, utafikiri mimi na wakala tunakaa pamoja
Na nanyi tumeshawachoka na mavodacom yenu humu ndani,.Mliambiwa ukiona mtandao mmoja haukufai tafute mtandao mwingine wenye naafu hao sio mama yako wala mke waki.