Vodacom UN offer imekaaje

Vodacom UN offer imekaaje

shamp

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2017
Posts
225
Reaction score
215
Samahani wakuu nataka kujua kwa aliejiunga na mtandao wa Vodacom ya mwanachuo vifurushi vyake vipoje na huchukua mda gan kukamilika mana naambiwa vifurushi vyake vya chuo vizuri wengne wanasema sawa tu na laina ya kawaida naomba mwenye kulijua hili
:Asanten

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni wiki na ndio vizuri

Ila ukiona vipi tumia tigo ya 10k ya mwezi. 550mins all networks
500sms
6gb internet

IMG_20200324_193937.jpeg
IMG_20200324_193909.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo vizur mi 2000 dk 150 voda to voda,gb1 sms bila kikomo, mitandao yote dk 15 cku 7,na ivyo vngne vmeandkwa hapo juu
 
Hapo kwenye mb hujakosea kweli? Maana kwa hiyo hela najua ni GB 1 tu(experience yangu)
Hajakosea..kama laini yako ni ya chuo piga *147*00# au *148*00# kisha chagua saizi yako kisha tafuta hadi mwisho utakipata
Wanakupa.dakika 250 mitandao yote
GB 3.5 na msg 100 kwa siku 7

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom