Vodacom na wizi wa fedha na bando

Vodacom na wizi wa fedha na bando

Joseph Ludovick

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
382
Reaction score
506
Leo, nimenunua bando kutokea M PESA. Pesa wamechukua na bando hawakunipa. Nimeongea na wahudumu wanaongea utumbo. Hatimaye kabla hatujaelewana wakakata na kunitumie ujumbe wa kijinga eti wanashughulikia tatizo langu ndani ya saa 24.

Mimi nimenunua bando kwa sababu nina shida kuwasiliana wao wanasema masaa 24. Hela wamechukua na bando sina.

Kwa sababu ya uharaka wa mawasiliano niliyohitaji nikaweka bando lingine. Wananitumia msg kuwa bando imeungwa.

Nafungua data hata dakika haikuisha wananiambia bando limeisha. Napiga simu wananijibu kijinga eti sikujiunga bando wakati na msg ya kuungwa bando wameleta.

Sasa nimehama Mtandao wa wezi. Nimehamia airtel. Najua mitandao yote ni yaleyale, lakini airtel hawajawahi kuniibia kwa mtindo huu. Kwa heri vodacom.
 
Leo, nimenunua bando kutokea M PESA. Pesa wamechukua na bando hawakunipa. Nimeongea na wahudumu wanaongea utumbo. Hatimaye kabla hatujaelewana wakakata na kunitumie ujumbe wa kijinga eti wanashughulikia tatizo langu ndani ya saa 24. Mm nimenunua bando kwa sababu nina shida kuwasiliana wao wanasema masaa 24. Hela wamechukua na bando sina.
Kwa sababu ya uharaka wa mawasiliano niliyohitaji nikaweka bando lingine. Wananitumia msg kuwa bando imeungwa. Nafungua data hata dakika haikuisha wananiambia bando limeisha. Napiga simu wananijibu kijinga eti sikujiunga bando wakati na msg ya kuungwa bando wameleta.
Sasa nimehama Mtandao wa wezi. Nimehamia airtel. Najua mitandao yote ni yaleyale, lakini airtel hawajawahi kuniibia kwa mtindo huu. Kwa heri vodacom.
Hyo hela wanakurudishia muda si mrefu,, ilishawah kunikuta ,, nliwasiliana nao wakanambia kulikuwa na tatizo kdogo,, wakanipa masaa 24 bt dk 10 zilikua n nying wakanirejeshea!

Sometimes inatokea ,, no one is perfect mkuuu
 
Hakuna kitu..imeshanitokea siyo mara ya kwanza. Ni miaka tatizo ni hilohilo
 
Leo, nimenunua bando kutokea M PESA. Pesa wamechukua na bando hawakunipa. Nimeongea na wahudumu wanaongea utumbo. Hatimaye kabla hatujaelewana wakakata na kunitumie ujumbe wa kijinga eti wanashughulikia tatizo langu ndani ya saa 24.

Mimi nimenunua bando kwa sababu nina shida kuwasiliana wao wanasema masaa 24. Hela wamechukua na bando sina.

Kwa sababu ya uharaka wa mawasiliano niliyohitaji nikaweka bando lingine. Wananitumia msg kuwa bando imeungwa.

Nafungua data hata dakika haikuisha wananiambia bando limeisha. Napiga simu wananijibu kijinga eti sikujiunga bando wakati na msg ya kuungwa bando wameleta.

Sasa nimehama Mtandao wa wezi. Nimehamia airtel. Najua mitandao yote ni yaleyale, lakini airtel hawajawahi kuniibia kwa mtindo huu. Kwa heri vodacom.
Jana asbh baada ya kuwalalamikia sana walinitumia msg wakisema watarudiaha fedha in 24 hours..MPAKA SASA HAWAJARUDISHA FEDHA WALA KUNIPA KIFUEUSHI. WEZI WAKUBWA HAWA
 
Leo, nimenunua bando kutokea M PESA. Pesa wamechukua na bando hawakunipa. Nimeongea na wahudumu wanaongea utumbo. Hatimaye kabla hatujaelewana wakakata na kunitumie ujumbe wa kijinga eti wanashughulikia tatizo langu ndani ya saa 24.

Mimi nimenunua bando kwa sababu nina shida kuwasiliana wao wanasema masaa 24. Hela wamechukua na bando sina.

Kwa sababu ya uharaka wa mawasiliano niliyohitaji nikaweka bando lingine. Wananitumia msg kuwa bando imeungwa.

Nafungua data hata dakika haikuisha wananiambia bando limeisha. Napiga simu wananijibu kijinga eti sikujiunga bando wakati na msg ya kuungwa bando wameleta.

Sasa nimehama Mtandao wa wezi. Nimehamia airtel. Najua mitandao yote ni yaleyale, lakini airtel hawajawahi kuniibia kwa mtindo huu. Kwa heri vodacom.
Update.
Tatizo hili halikutatuliwa. Nilipofuatilia tena wakasema salio liliingia kwenye simu siku husika. Sikuona muda wanaousema kwa hakika kabisa. Waongo na majizi.
 
Back
Top Bottom