Bora ww mkuu,mi dada angu aliweka mpesa mil 2 ili ipelekwe bank mana alikua na marejesho,cha kushangaza mpk leo hela haijafika bank toka tr23 ya mwez jun,kafatilia mpk kacho jibu la maana hawana,,na kule bank wataendelea kuhesabu penat kwa kua kachelesha rejesho,yaan hata hatujui tufanyeje