Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,157
- 31,334
Hawa Vodacom yani ukiacha salio hata uzime simu ukija kucheck balance utakuta wamekata ukiwauliza watakupa sababu kibao yani ni wezi hatari.
Sasa kali zaidi wanakifuruhsi chao kinaitwa Dar Super University yani zile sunaelection zinabadirika kila ukirudia ya kwanza inakuwa ya pili ya pili inakuwa ya tatu au nne ya nne ya kwanza na hii muda mwingine wanaifanya kila ukirudia sasa wewe ukiwa ushakalili kuwa unajiunga bundle mfano ya 2 unabonyeza husubiri msg unafungua bundle kumbe unaliwa bila kujua
yani hii inatokea kila ukirudia na ukienda mbele mara cha buku tano ndiyo krudi cha kwanza.
Halafu hata uchague selection unayohitaji mfano cha 1000 kiko namba 1 ukichagua bado utapokea msg salio lako halitoshi hata kama kuna salio.
Usiposubiri msg ukawahi utashangaa mara gafla hakuna connection kumbe hukuungwa kifurushi.
Mimi kila nikiacha salio dakika 5 tu wanapita na 300 likikaa 1hr hata niwe situmii kabisa nimezima sikuti salio.
Sasa kali zaidi wanakifuruhsi chao kinaitwa Dar Super University yani zile sunaelection zinabadirika kila ukirudia ya kwanza inakuwa ya pili ya pili inakuwa ya tatu au nne ya nne ya kwanza na hii muda mwingine wanaifanya kila ukirudia sasa wewe ukiwa ushakalili kuwa unajiunga bundle mfano ya 2 unabonyeza husubiri msg unafungua bundle kumbe unaliwa bila kujua
yani hii inatokea kila ukirudia na ukienda mbele mara cha buku tano ndiyo krudi cha kwanza.
Halafu hata uchague selection unayohitaji mfano cha 1000 kiko namba 1 ukichagua bado utapokea msg salio lako halitoshi hata kama kuna salio.
Usiposubiri msg ukawahi utashangaa mara gafla hakuna connection kumbe hukuungwa kifurushi.
Mimi kila nikiacha salio dakika 5 tu wanapita na 300 likikaa 1hr hata niwe situmii kabisa nimezima sikuti salio.