Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,216
- 7,907
Hahahaa..... Chadema mmefulia!!Hiki mlichotufanyia wakazi wa Dar na superunit yenu, ni ukorofi wa hali ya juu. unatoa GB 3/week/5000 kwa mantiki hiyo mtu atumie 20k/month.
wakati mwanzoni tulikiuwa tunatumia 10k/month japo GB zilikuwa kidogo, nani kawambia zile GB zilikuwa hazitoshi mpaka kuzipandisha na gharam juu.
Mmenikera sana rudisheni bundle letu la 2000/1GB/week au 2500/1.5GB/week. vinginevyo bye bye. vyuma bado vigumu.
View attachment 1025840
Kumbe kuna mitandao hawacharge mobile banking?Voda majizi hatari hata Bank transfer wanacharge kama huna air time hata kama una kifurushi lazima tena uwe na airtime ili wakate sio hivyo kwa mitandao mingine.
kwa menu ipo mkuuDuuuu upo vizuri.mm voda wanna ambulia buku2000 ya sms mwezi internet nipo holoteli buku 1G wiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Makampuni yetu ya simu sijui mshauri wao ni nani, yani kutoka 2500 mpaka elf 5 jinga sanaHiki mlichotufanyia wakazi wa Dar na superunit yenu, ni ukorofi wa hali ya juu. unatoa GB 3/week/5000 kwa mantiki hiyo mtu atumie 20k/month.
wakati mwanzoni tulikiuwa tunatumia 10k/month japo GB zilikuwa kidogo, nani kawambia zile GB zilikuwa hazitoshi mpaka kuzipandisha na gharam juu.
Mmenikera sana rudisheni bundle letu la 2000/1GB/week au 2500/1.5GB/week. vinginevyo bye bye. vyuma bado vigumu.
View attachment 1025840
nakuja hukoHuu ujinga wa voda usihamie airtel maana nitarudi tu nyumbani TTCL. Vifurushi ghali ka nini
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa tu, soko huria mbuzi hula kulingana na urefu wa kamba yake, we lipa hiyo 5k/week
Yeye ameongea wengi tulishahama kimya kimya tutarudi wakijitambua