Chipolopolo
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,425
- 725
Shukrani mkuu
Shukrani mkuu
Sasa ni saa ya 12,zikifika 48 nitarudi kukuliza kama umeshatupa...,Hiki mlichotufanyia wakazi wa Dar na superunit yenu, ni ukorofi wa hali ya juu. unatoa GB 3/week/5000 kwa mantiki hiyo mtu atumie 20k/month.
wakati mwanzoni tulikiuwa tunatumia 10k/month japo GB zilikuwa kidogo, nani kawambia zile GB zilikuwa hazitoshi mpaka kuzipandisha na gharam juu.
Mmenikera sana rudisheni bundle letu la 2000/1GB/week au 2500/1.5GB/week. vinginevyo bye bye. vyuma bado vigumu.
View attachment 1025840
Hiki mlichotufanyia wakazi wa Dar na superunit yenu, ni ukorofi wa hali ya juu. unatoa GB 3/week/5000 kwa mantiki hiyo mtu atumie 20k/month.
wakati mwanzoni tulikiuwa tunatumia 10k/month japo GB zilikuwa kidogo, nani kawambia zile GB zilikuwa hazitoshi mpaka kuzipandisha na gharam juu.
Mmenikera sana rudisheni bundle letu la 2000/1GB/week au 2500/1.5GB/week. vinginevyo bye bye. vyuma bado vigumu.
View attachment 1025840
hebu nijuze na mm unafanyaje kupata hiyo GB1
Kabla ya kuitupa njoo nikuunganishe iwe ya chuo kidogo huko kuna ahueniHiki mlichotufanyia wakazi wa Dar na superunit yenu, ni ukorofi wa hali ya juu. unatoa GB 3/week/5000 kwa mantiki hiyo mtu atumie 20k/month.
wakati mwanzoni tulikiuwa tunatumia 10k/month japo GB zilikuwa kidogo, nani kawambia zile GB zilikuwa hazitoshi mpaka kuzipandisha na gharam juu.
Mmenikera sana rudisheni bundle letu la 2000/1GB/week au 2500/1.5GB/week. vinginevyo bye bye. vyuma bado vigumu.
View attachment 1025840
Duuuu upo vizuri.mm voda wanna ambulia buku2000 ya sms mwezi internet nipo holoteli buku 1G wikisi heri yako wewe, wakati mimi napewa mb 500 kwa 3000 wiki. na ninapambana tu na hali yangu sasa nitafanyaje