Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,987
Daaah SA vifurushi bei ghali tena international calls ndiyo balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanakera sanaHiki mlichotufanyia wakazi wa Dar na superunit yenu, ni ukorofi wa hali ya juu. unatoa GB 3/week/5000 kwa mantiki hiyo mtu atumie 20k/month.
wakati mwanzoni tulikiuwa tunatumia 10k/month japo GB zilikuwa kidogo, nani kawambia zile GB zilikuwa hazitoshi mpaka kuzipandisha na gharam juu.
Mmenikera sana rudisheni bundle letu la 2000/1GB/week au 2500/1.5GB/week. vinginevyo bye bye. vyuma bado vigumu.
View attachment 1025840