VODACOM mnatusumbua wateja wenu

VODACOM mnatusumbua wateja wenu

Nimeamua kuunga mkono na kuwa mzalendo kwa kununua line ya nyumbani, TTCL. Ila sasa najuta, yaaani hiyo 4G mpaka ukae katikati ya mji, kilometa 5 tu nje ya mji hupati hata 2G..!!!. Inasoma E.
Hapa nimemeza panadol nipunguze maumivu ya kichwa yanayosababishwa na matatizo ya hii mitandao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Embu nisaidie mkuu jinsi ya kujiunga kifulush cha TTCL

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halotel sijawahi watumia nasikia speed yao n balaa.Ila internet zenye kasi nzuri na mb zinatembea sana.ila hata kama n speed voda wamezd.nikigusa IG kidogo unashangaa sms hyo gb 1 kwisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Halotel wanakula mb kwa spidi ya drimulaina usiombe mkuu yaani voda mb 300 naangalia mpira full time na bado zinabakia za kuperuzi halotel mb 300 naangalia dakk 50 tu kwishaaa yaani wanatafuna haswa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie hawa watu niliamua kuachana nao kitambo, walikuwa wananipa 3gb/7days 2000/= kwenye ya kwako tu, nikaa nayo kama miezi nane hadi nikaona maisha si ndio haya....wakanitoa hapo ghafla wananipa 10 gb/7@10000/= niliwapigia majibu yao kama vile sijui kitu gani....niliboreka sana....nikaamua kufa na airtel wao angalau....mwisho wa siku nikaona nijiunge pia na ttcl so nasonga hivyo ...kukizingua air narudi boompack....ila voda sina hamu tena...
Binafsi nilikua naitumia hio ya 2000, mimi nilikua mdau tangu enzi zile wanauza 1000 tshs dakika 50 kwa wiki na 2000 wanakupa GB 3 maisha yalikua poa hio ni 2017-2018 aisee wakaja kuleta ya 2500 nikawa naunga sema toka wameweka 5000 nimejiunga mara moja tu..nilinunua MIFI router nimeweka laini ya TTCL sasa hivi nakula boom data pack 5000 GB 5 kwa mwezi lakini hua haifiki hata wiki ila ndo sina namna inabidi niunge maisha sasa hivi ni murua nahisi kama vile nipo Guangzhou...
 
Nimeamua kuunga mkono na kuwa mzalendo kwa kununua line ya nyumbani, TTCL. Ila sasa najuta, yaaani hiyo 4G mpaka ukae katikati ya mji, kilometa 5 tu nje ya mji hupati hata 2G..!!!. Inasoma E.
Hapa nimemeza panadol nipunguze maumivu ya kichwa yanayosababishwa na matatizo ya hii mitandao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa si wa nanjilinji huku tukinunua hiyo si itakua sawa na bure
 
Binafsi nilikua naitumia hio ya 2000, mimi nilikua mdau tangu enzi zile wanauza 1000 tshs dakika 50 kwa wiki na 2000 wanakupa GB 3 maisha yalikua poa hio ni 2017-2018 aisee wakaja kuleta ya 2500 nikawa naunga sema toka wameweka 5000 nimejiunga mara moja tu..nilinunua MIFI router nimeweka laini ya TTCL sasa hivi nakula boom data pack 5000 GB 5 kwa mwezi lakini hua haifiki hata wiki ila ndo sina namna inabidi niunge maisha sasa hivi ni murua nahisi kama vile nipo Guangzhou...
Hahahaaaa si bora uunge la wiki tu sasa
 
Kampeni ya #hamavodacom izunduliwe..hao kenge wamekalia kuhujumu watu..tuwahameni wabaki kama zantel au wale sasatel .
 
Kampeni ya #hamavodacom izunduliwe..hao kenge wamekalia kuhujumu watu..tuwahameni wabaki kama zantel au wale sasatel .
 
Mbona hamtoi suluhisho ni kampuni gani ya simu tuhamie ? Maana wizi was Voda hauvumiliki!!!
Screenshot_20190414-184520.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia bundles zinayeyuka kiajabu ajabu. Hawafai

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani zinayeyuka kuzidi hata barafu, kifurushi cha wiki unatumia siku moja what app kesho unafungua Jamii Forums hakipo, mie nimepumzika na voda kwa sahizi naitumia kama simu ya mezani, walianza na 1500, ghala 2000 sijakaa sawa 2500, nikavumilia duu wiki mwezi naanza kununua inagoma duu kuja kuangalia 5000, nikaiweka pembeni basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi nilikua naitumia hio ya 2000, mimi nilikua mdau tangu enzi zile wanauza 1000 tshs dakika 50 kwa wiki na 2000 wanakupa GB 3 maisha yalikua poa hio ni 2017-2018 aisee wakaja kuleta ya 2500 nikawa naunga sema toka wameweka 5000 nimejiunga mara moja tu..nilinunua MIFI router nimeweka laini ya TTCL sasa hivi nakula boom data pack 5000 GB 5 kwa mwezi lakini hua haifiki hata wiki ila ndo sina namna inabidi niunge maisha sasa hivi ni murua nahisi kama vile nipo Guangzhou...
Mie baada ya kuona 5Gb haitoboi mwezi, naunga ya Gb3 kwa 2500 kwa wiki, ambapo mara mwezi unaona angalau kuna unafuu...kwa mzigo mkubwa naunga toboa night nashusha kinachowezekana ....
 
Back
Top Bottom