Zero Competition
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 347
- 556
Siku chache zilizopita waliondoa kifurushi cha 2500 wakaleta cha 5000.Tukalalamika weeee mwishowe tukaanza kuzoea hiki cha 5000.
Leo nimeingia kwenye menu yao nijiunge cha 5000 nakuta wamekiondoa na matokeo yake wamekirudisha tena cha Tshs 2500 cha wiki tena kikiwa na GB moja tu ya internet.
VODACOM mnakwama wapi ?
Kwanini msiwe mnaweka tu virushi ambavyo vitakua na uwezo wa kukaa hata mwaka bila kuvibadirisha kila baada ya muda mfupi kama mfanyavyo sasa hivi
Badilikeni jamani kama mnatusikia wateja wenu
Leo nimeingia kwenye menu yao nijiunge cha 5000 nakuta wamekiondoa na matokeo yake wamekirudisha tena cha Tshs 2500 cha wiki tena kikiwa na GB moja tu ya internet.
VODACOM mnakwama wapi ?
Kwanini msiwe mnaweka tu virushi ambavyo vitakua na uwezo wa kukaa hata mwaka bila kuvibadirisha kila baada ya muda mfupi kama mfanyavyo sasa hivi
Badilikeni jamani kama mnatusikia wateja wenu