mkuu kama unawezaingia jf, then ningekushauri usome maelezo yao kwenye web ya vodacom wameeleza vizuri maelezo ni mengi yakutosha, kuweka hapa unaweza jaza saver, ila inaonekana iko vizuri according to maelezo yao, yaani badala ya kuacha hela kwa m-pesa unaihamishia kwa m-pawa inapata kariba kidogo then kutokana na kiwango unacho save unaweza kukopeshwa mkopo wa up to laki tano500,000 ila inatakiwa irudishwe baada ya mwezi