Vodacom kweli ni wezi sana comfirmed

Namm nlieweka 2000 vochada huo huo nikacheki Salio ikaja 1664?hata kama ni internet heal yote huyo kwasekunde flani tu.hawa jamaa wezi bana.
 
Vodacom acheni wizi. Binafsi jana nilijiunga na cheka time huwezi amini wakati naongea na mtu ikakata na kuniambia huna salio la kutosha wakati muda wa hiyo cheka ulikuwa haujaisha na nilipocheki salio nikakuta bado muda haujaisha na dakika zipo za kutosha. KAMA CCM NDO IMEWARUHUSU MUWAIBIE WANANCHI ILI WAPATE PESA ZA UCHAGUZI MWAKANI SAWA MAANA SERIKALI YA CCM IPO NA HAISIKII KILIO CHA WANANCHI KUHUSU WIZI WA VODA.
 

Wewe ndo huna akili,hivi hata mvua icponyesha utailaumu CCM jinc akili ilivyo mbovu
 
smartphones zinawazingua nyie! Kama unabisha kalalamike TCRA mpaka uone mwisho wake utakuaje, utaumbuka bure. Kama umeliwa na nokia tochi sawa, ila kama una kitu cha android, apple....ujue kazi ni kwako!
 
laini ya voda iko kwenye droo....
 
laini ya voda iko juu ya kabati...
 
Hawa jamaa kweli ni 'Wababaishaji' Lakini kuna siku walijichanganya kwenye hiyo Mpesa yao. Nilitumiwa 120,000 baada ya kuitoa nikakaa kama siku 1 kucheki salio tena nakutana na 120,000 from no where kwa kweli sikupoteza muda nilikwenda kuichomoa yote palepale na hadi leo siweki tena pesa kwenye line yangu ya voda wasije wakajilipa.
 
Nimeweka vocha ya elfu2 kucheki Salio mda huo huo nikakuta 1,664 kweli hili kampuni jizi....jihadharini nalo.

Umeangalia kama ulikopa?
Au yamkini kama unatumia internet inawezekana simu yako ilikuwa ina download ukajisahau
Cheki vizuri
 
Jaman jf nilidhan ni mimi tu nawakati mwingine nilidhan makosa ni yangu kweli voda ni wezi mm nimeshanunua line ya baba lao
 
Hivi naomba kuuliza gharama za kuhamisha Pesa kutoka kwenye account ya M-pesa kwenda NMB account ni bei gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…